Friday, March 8, 2019

Lettre ouverte aux Bembe et Fulero

Baruwa kwa ndugu wa Bembe na Wafulero:

Hiyi message nina yi adresser surtout kuba ndugu zetu wa Bembe na Wafuliro. Sana sana kwa wale wenye busara na hekima. 
 Wa ndugu, Mimi nafadhaika saaana moyoni mwangu kuona jinsi watu wazima, wana weza chaguwa ku endeleya ku victimise taifa nzima, ku encourager umwangaji wa damu generation après generation. 
Je, ni kiwango gani cya damu ya wa innocents mutafikiya kusudi mutosheke na mauaji? Ni miliyoni ngapi ya wa Kivutiens munataka muuwishe njoo mutosheke? Ni degree ya pauvreté gani munangoja mufikiye njoo mu réaliser que vita ya ukabila ni ujinga mtupu, na ni voie ya kuendeleye kwa umasikini ( pauvreté) kwa ninyi wore? Ni nombres ngapi ao kiwango gani ya wajane na mayatima wa kivu munaitaji kuona njoo mutosheke ao muelewe kama guerre tribale ni mbaya na haina faida kwa yeyote?
Acha ni wa ulize na mchukuwe wakati wa kuwaza mbele munijibu:
Je, depuis mulianza mapambano na vita ya ukabila nawa nyamulenge, hakuna wa bembe na wafulero wanakufaga? Je, hizo vita zote ni wanyamulenge peke yake wanakufaga? Mimi najuwa tuna wajane na mayatima wengisana wamepoteza wazazi nawatoto juu ya wa Mai Mai wa bembe na wafulero; na ninajua Kama hiyo inawafurahisha ninyi kujuwa. Je, ninyi hamupotezagi watu wenu? Wazazi, vijana, watoto wenu nao wanakufaga? Ao ile ma slogans yenu eti lisasi ni mayi ni ukweli? Est-ce lisasi kutoka bunduki ya munyamulenge ha iuwaki ? Ni mayi kweli? Je, depuis mulianza ku uwa na kunyanganya ngombe za wanyamulenge mumekuwa matajili? Depuis mulianziya campagne ya kutufanya wakimbizi, eti tuko wanyarwanda, si wa Congomani, depuis wakati tukikuwa hatuna ata chef de localité, ao caporale mu service militaire, tulikuwa bado hatuya ishi ata mtu mmoja mu ville Uvira ao Bukavu, tulikuwa hatuna mtu mwenye kuwa na vélo, tunaishi mu manyumba ya majani. Lakini mukashindwa na kututowa kwetu mutugeuze wa refugees na mutufukuze. Sasa kweli leo tulisha kuwa na Vice Président de la République, hamuyakuwa naye depuis la création du Congo, tuko na plus des généraux que vos deux peuples combinés, les officiels supérieurs njo siseme, ba Ministres, députés, des millionnaires, des grands hommes d'affaires, diaspora mature dans des grandes capitales occidentales, leo Minembwe ilisha pita Fizi en development. Pour ne dire que ça. Sasa leo njoo kweli munaona mutatuweza? Leo njoo munazani tutawaogopa?  Tumiyeni hakili ndugu zangu! 
Wandugu wapenzi. Mu ache ile mawazo ya ujinga na upuuzu! Mu ache extrémisme yenye ina endeleya ku tu endeuillée nous tous Kivutiens sans exception. Mu ache turudishe upendo, uhusiayano muzuri, bon voisinage. Tusaidiyane kimaendeleo. Tu inuwe région yétu ya Kivu. Mu ache tu weke ma conditions favorables ku développement ya Kivu. Watu wenu watoke mu pauvreté; tu we tena na Amani kama zamani. Mu ache ku endeleya ku acha wa extrémistes Hutus Burundais et Rwandais wenye waliji ingiza katikati yenu, wanageuka wafulero ao wabembe. Na ninyi munawakubali kuliko sisi tuliishi pamoja depuis ba babu zetu; depuis nos ancêtres d'avant 1885; mais muna embrasser ba Hutu ba muma année 1993/94. Juste juu muna ma puwa yakufanana! Sasa puwa ndefu nafupi, kubwa na ndogo inaongeza ao inapunguziya mwenye nayo nini apart kupitisha makamasi? Watu wenye wali leta chuki na mauaji ya uKabila njoo muna préféré kuliko sisi tukiishi mumanyumba zenu, mukatupangisha kama watoto wenu tukisomeya kwenu pamoja, Fizi, Baraka, Mboko, Uvira, Sange etc. Tukichangiya, tukilala pamoja. Wamama zenu walikuwa wamama zetu, baba zenu, walikuwa ma baba zetu. Tukasomeye kwenu mpaka kumaliza écoles secondaires. Sasa, Leo tumekuwa ma adui? Sisi sote tuendeleye ku uuana kweli? Kila mwaka ni ku uwana, nakurudisha region yetu nyuma mu pauvreté tu! Hiyo kweli njoo muna préférer kuliko Amani? Kuliko ku ungana mukono pamoja tulete maendelo kwetu? Munajuwa des millions des dollars tuko tuna investir mu inchi zingene zenye haziko zetu juu yakukosa amani kwetu? Muna juu ma Hôtels tunaweza jenga Baraka, Fizi, Uvira etc? Kazi yawa vijana wetu wa Kivu? Ku patiya ma credits wa mamans na baba na vijana wanaitaji mutaji/capitale yakuanza business? Ni seme nini? Please please nawasihi wandugu zangu. Mu ache ukabila tufanye maendeleo kwetu. Mimi niki 24 ans mu Nord Amérique, naishi na wengine wa Congolais. Tunapata nationalité après 3 à 5 ans maximum. Lakini kwenye nilizaliwa na baba, nama babu depuis plus de 250 ans. Avant le partage de l'Afrique. Mungali munani ita réfugié! Quelle stupidité! Mu ache ujinga wandugu ili tuwaleteye maendeleo. 
Mimi hiyo njo nawa takiya tufanye. Kwa juu kila Kabila iko sur armée jusqu'aux dents. Capable d'exterminer l'autre. Mais à quoi cela nous profite? 
Chagueni akili, busara na upendo kuliko chuki na kifo ndugu zangu. 

Merci. Mungu awafunuliye hakima na awape upendo. 
Na wapenda saana. MHz

No comments: